Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s.) - Abna -; "Watu milioni 6, 391 elfu na 390 wametembelea Kaburi (Haram) Tukufu la Imam Ali (amani iwe juu yake) wakati sambamba na kumbukumbu ya Kifo chake cha Kishahidi"; Habari hii ilitangazwa na Haram ya Alawi (a.s).
Mwaka jana, katika siku kama hii, Haram ya Alawi (a.s) ilikuwa na Mazuwwari wasiozidi milioni 5, na mwaka huu, takriban watu milioni 1.5 zaidi wameongeza katika kutembelea Haram Tukufu ya Alawi kuliko ilivyokuwa kwa mwaka jana.
Your Comment